WAZIRI AWESO AMEMUAGIZA KATIBU MKUU KUCHIMBA VISIMA VIWILI VIKUBWA JIJINI DODOMA.
WAZIRI wa Maji Jumaa Aweso ameridhishwa na utekelezaji wa mradi wa maji wa Mzakwe wenye thamani ya zaidi ya milioni 200 unaotarajiwa kupunguza adha ya maji kwa mkoa wa Dodoma huku akimuagiza Katibu Mkuu wa wizara hiyo kuhakikisha vinachimbwa visima vingine vikubwa viwili . Waziri Aweso ameyasema hayo leo Jijini Dodoma wakati akizungumza na waandishi
Copy and paste this URL into your WordPress site to embed
Copy and paste this code into your site to embed